Tanzanian bloggers worldwide are meeting formally for the first time today October 18th, 2006. After calls by several African bloggers for African bloggers to organise their ‘own' media and blogging conference following the Digital Citizens Indaba controversy and especially after several prompts from a Tanzanian Rastafarian blogger Ras Laihamu, Jeff Msangi took the initiative of calling for the first Tanzanian bloggers conference.
Ingawa idadi ya blogu za kitanzania … zimekuwa zikiongezeka kila mara … hatujapata nafasi ya “kukutana”. Nia imekuwepo, sababu zimekuwepo, mipango ya muda na jinsi ya kukutana ndio imekuwa migumu. Habari njema ni kwamba sasa tunaweza kukutana kwa kutumia tekinolojia hizi hizi za mitandao….
Writing about the need for African bloggers to meet, Jikomboe quotes Ras Luihamu:
Kwanini inakuwa vigumu sisi wanablogu kutoka Africa kuwa na mkutano wetu hapa hapa Afrika?… Mzee Ndesanjo nasi tungependa tuwe na mkutano wa wana blogu kutoka Afrika hapa hapa Afrika kwa sababu tunaweza kujifunza mambo mengi sana, nadhani hatuhitaji wadhamini kwani lengo letu ni kukutana kisha kuzungumzia kazi zetu.
Indeed thanks to the web based interactive service, IRC@Work, that Tanzanian bloggers are able to meet at last.
The planning for the conference (nomination of conference moderator, agendas to be discussed, meeting date and time, etc) has taken place online. A wiki page was set up to facilitate the process. The conference will discuss, among other things, outreach strategies, bloggers' award, and national blog day.
Elsewhere, Msangi Mdogo and Jeff Msangi have been digesting and analyzing news about a senior Tanzania government official, Ukiwaona Ditopile Mzururi, who allegedly gunned down a communter bus driver. Mzuzuri was the Tabora Regional Commissioner. He has resigned following the incident.
Msangi says that, unlike many Tanzanians, he was not suprised by the incident because he reads the signs of the time. He notes that there is a Regional Commissioner who spanked voters and District Commissioners who reportedly slapped innocent citizens.
A popular photoblogger, Muhidin Issa Michuzi, documents the mourning and burial of the driver as well as the former Regional Commisioner's first appearance in court.
Mzawa looks at the incident with a sense of humor. He posts “a new traffic sign” in Tanzania, which reads: Drive Careful, Ditopile Ahead!. After the incident, several commuter buses and shops have been christened “Ditopile”
Pondering about China-Africa Cooperation summit , Motowaka doubts whether the Tanzanian president, Jakaya Kikwete, ever discussed the Dafur crisis with the Sudan president, Omar Al-Bashir.
Ila bila kuongelea na ikibidi kukemea tabia au kusudi la Bw. Al-Bashir la kufumbia macho mauaji ya Durfur atakuwa hajawatendea haki watanzania na waafrika wote kwa ujumla.
On China's aid to Africa, Motowaka writes:
…ingawa China ametuita kutupatia msaada naye inabidi aambiwe kwamba soko lake la silaha la Sudani linatuumiza sana kuliko hiyo misaada anayotaka kutupatia ….
Lastly, blog by a Tanzanian living in Canada, African Perspective, has been nominated for the 2006 Canadian Blog Awards in the Best Cultural Blog category, writes Jikomboe.

















Send this by E-mail














Salam AdilLatest of 100 posts
Ayesha SaldanhaLatest of 119 posts
Alan DavidsonLatest of 2 posts
Lasto AdriLatest of 35 posts
John LiebhardtLatest of 20 posts
Riyadh Al BalushiLatest of 26 posts
Ndesanjo MachaLatest of 1887 posts
Razan GhazzawiLatest of 5 posts
Hanako TokitaLatest of 63 posts
Yazan BadranLatest of 64 posts
Jennifer BreaLatest of 309 posts
Neha ViswanathanLatest of 3612 posts
[...] Kichwa cha habari hapo juu ni kichwa cha makala niliyoandika kuhusu mkutano wetu (ambao nikiufikiria ninasisimka) ambayo imetoka leo kwenye gazeti la Mwananchi. Wiki ijayo nitaandika kwenye gazeti hilo mambo ya msingi yaliyoamuliwa. Ninapitia mkutano mzima ili niweze kutoa muhtasari wake kwenu nyote. Bonyeza hapa usome makala hiyo. Habari za mkutano wetu zimeandikwa pia kwenye ukurasa wa Global Voices Online. Shukrani Nambiza Tungaraza kwa kuandika habari hiyo. Bonyeza hapa uisome. [...]
[...] Kisha bonyeza hapa usome muhtasari wa yaliyojiri kwenye blogu za Kiswahili wa mwezi uliopita aliotuandikia Nambiza (akataja mkutano wetu) kwenye blogu ya Global Voices Online. [...]